Baadhi ya watoto wa kituo cha watoto yatima kilichopo Mbagala, Chamazi
jijini maarufu kwa jina la 'Yatima Group Trust Fund' wakibeba sehemu ya
msaada uliyotolewa kwao na Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) kwa kituo
hicho ikiwa ni maandalizi ya Siku Kuu ya Pasaka.
Meneja wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) Mkoa wa Dar es Salaam Kusini,
Adolf Matondo (kulia) akikabidhi sehemu ya msaada kwa kwa mmoja wa
walezi wa watoto wa kituo cha watoto yatima kilichopo Mbagala, Chamazi
jijini maarufu kwa jina la 'Yatima Group Trust Fund'.
Meneja wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) Mkoa wa Dar es Salaam Kusini,
Adolf Matondo (kulia) akikabidhi sehemu ya msaada kwa watoto wa kituo
cha watoto yatima kilichopo Mbagala, Chamazi jijini maarufu kwa jina la
'Yatima Group Trust Fund'
Meneja wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) Mkoa wa Dar es Salaam Kusini,
Adolf Matondo (kulia) akikabidhi sehemu ya msaada kwa watoto wa kituo
cha watoto yatima kilichopo Mbagala, Chamazi jijini maarufu kwa jina la
'Yatima Group Trust Fund.
Baadhi ya watoto wa kituo cha watoto yatima kilichopo Mbagala, Chamazi
jijini maarufu kwa jina la 'Yatima Group Trust Fund' wakiteremsha sehemu
ya msaada uliyotolewa na Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) kwa kituo
hicho ikiwa ni maandalizi ya Siku Kuu ya Pasaka.
Baadhi ya watoto wa kituo cha watoto yatima kilichopo Mbagala, Chamazi
jijini maarufu kwa jina la 'Yatima Group Trust Fund' wakibeba sehemu ya
msaada uliyotolewa kwao na Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) kwa kituo
hicho ikiwa ni maandalizi ya Siku Kuu ya Pasaka.
Meneja wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) Mkoa wa Dar es Salaam Kusini,
Adolf Matondo (kulia) akizungumza kabla ya kukabidhi sehemu ya msaada
kwa watoto wa kituo cha watoto yatima kilichopo Mbagala, Chamazi jijini
maarufu kwa jina la 'Yatima Group Trust Fund'. Kushoto ni MKuu wa Kituo
hicho, Wilfrida Lubanza.
Baadhi ya watoto wa kituo cha watoto yatima kilichopo Mbagala, Chamazi
jijini maarufu kwa jina la 'Yatima Group Trust Fund' wakibeba sehemu ya
msaada uliyotolewa kwao na Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) kwa kituo
hicho ikiwa ni maandalizi ya Siku Kuu ya Pasaka
Picha ya pamoja na watoto wa kituo cha watoto yatima kilichopo Mbagala,
Chamazi baada ya Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) kukakabidhi sehemu ya
msaada kwa watoto hao jana jijini Dar es Salaam.
Kampuni ya TTCL yatoa msaada kituo cha watoto yatima Chamazi
Reviewed by
crispaseve
on
5:16 AM
Rating:
5
No comments:
Post a Comment