Header Ads

Baadhi ya Watanzania wanaoishi DMV wajumuika na familia ya Kusaga  kwenye harambee ya kuchangia pesa ya mazishi ya ndugu yao mpendwa hayati, Christavina Kusaga Cryor, na kufanikisha kuchangia kiasi cha fedha taslim cha $3,420. Checks $3,420/ na ahadi $1,050, Jumla ni $8,801, harambee hiyo ilifanyika jana Jumapili katika kanisa la The Way Of The Cross liliopo Drive, College Park, Maryland Nchini Marekani.
  
Dada Adela  ambae ni Mke wa Shukuran Magoma wakisimamia harambee ya ndugu yao mpendwa iliofanyika jana Jumapili Feb12, 2012 .
Ngugu jamaa na marafikia waliohudhuria kwa wingi katika harambee ya kuchangi mazishi hayo.
Sunday Shomari akiwa Kaka Waitara katika mpango mzima wa harambee ya kuchangia mazishi ya hayati Christavina Kusaga Cryorili.
Sunday Shomari akiwa na Dada latifa kwa shuhuli ya kunadi vitu vilivyo wakilishwa na Watanzania kwaajili ya  harambee hiyo iliofanyika ndani ya kanisa la The Way Of The Cross liliopo Drive, College Park, Maryland Nchini Marekani.
Baadhi ya watanzania waliohudhuria kwenye harambee hiyoo.Picha na Habari Kwa Hisani ya Swahilivila Blogu

No comments:

Powered by Blogger.