Header Ads

SHUGHULI MBALIMBALIZA WAZIRI MKUU MAJLIWA BUNGENI

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Wabunhe kwenye jengo la utawala la Bunge mjini Dodoma Januari 24, 2016. Kutoka kushoto ni Dkt. Raphael Chegeni wa Busega, Adadi Rajabu wa Mhuheza na Jason Rweikiza wa Bukoba Vijijini. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Kassim Majlaliwa akizungumza na wenyeviti wa Kamati za Bunge Ofisini kwake mjini Dodoma Januari 24, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Busega, Dkt.Raphael Chegeni kwenye jengo la utawala la Bunge mjini Dodoma Januari 24, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Powered by Blogger.