Header Ads

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Amos Makala- akemea uharibifu wa mazingira katika vyanzo vya Maji

 2
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Amos Makala, akiweka jiwe la msingi ujenzi wa Maabara Shule ya sekondari Dr chami.
1
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Amos Makala akizungumza na watendaji wa Vijiji, waratibu wa Elimu kata, madiwani, wakuu wa idara na Kamati ya Ulinzi na usalama wakati alipofanya ziara ya halmashauri ya Moshi.
3
Watendaji wa Vijiji, waratibu wa Elimu kata, madiwani, wakuu wa idara na Kamati ya Ulinzi na usalama wakimsikiliza kwa umakini Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Amos Makala wakati alipofanya ziara ya halmashauri ya Moshi.

No comments:

Powered by Blogger.