Header Ads

MABADILIKO YA MUUNDO WA KAMATI ZA KUDUMU ZA BUNGE

  ZZ3 ZZ5
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Job Ndugai akiongoza kikao cha wajumbe wakamati ya kanuni Katika Ofisiza Bunge leo Jijini Dar es Salaam.
ZZ1
Spika waBunge la Jamhuri ya Muungano waTanzania Mh. Job Ndugai (Katikati) akiwa na Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Tulia Ackson (kushoto) na Mbunge wa Jimbo la Hai Mkoani Kilimanjaro (CHADEMA) Mh. Freeman Mbowe kabla ya kuanza kwa kikao kilicho wakutanisha wajumbe wakamati ya kanuni na Spika, Katika Ofisi za Bunge leo Jijini Dar es Salaam leo tarehe 15/01/2015.
ZZ2
Mbunge waJimbo la Hai Mkoani Kilimanjaro (CHADEMA) Mh. Freeman Mbowe akimueleza jambo Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Tulia Ackson kabla yakuanza kwa kikao cha wajumbe wa kamati ya kanuni na Spika, Katika Ofisi za Bungel eo Jijini Dar es Salaam.

No comments:

Powered by Blogger.