Header Ads

Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Kanali Mstaafu, Issa Machibya ashiriki uboreshaji wa miundombinu shule ya msingi Muungano mkoani

 Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Kanali Mstaafu, Issa Machibya Katikati akichimba mtaro kwa ajili ya kupitisha maji katika shule ya msingi Muungano iliyopo Mwanga mkoani Kigoma, anayechimba naye mtaro ni Diwani wa Mwanga Kusini (CCM), Mussa Maulid akishiriki katika uboreshaji huo wa miundombinu ya shule hiyo, hivi sasa mkoa wa Kigoma una mvua nyingi.
Diwani wa Kata ya Mwanga Kusini, Mussa Maulid (mwenye suti ya michezo)akishiriki kuweka mazingira safi katika shule ya msingi Muungano iliyoko Mwanga mkoani Kigoma sambamba na wanafunzi wa shule hiyo.

No comments:

Powered by Blogger.