MGODI WA BUZWAGI WAISAIDIA MILIONI 10.5 TIMU YA AMBASSADOR FC - KAHAMA
Meneja
Mkuu wa Mgodi wa Buzwagi Asa Mwaipopo (kushoto) akimkabidhi mfano wa
hundi katibu mkuu wa Ambassador FC, Bakari Khalid kwa ajili ya
maandalizi ya ligi daraja la pili mkoa wa Shinyanga.
Meneja
Mkuu wa Mgodi wa Buzwagi Asa Mwaipopo (kushoto) na Bakari Khalid Katibu
mkuu wa timu ya Ambassador wakati wa hafla ya kukabidhi msaada kwa timu
hiyo.
Meneja
Mkuu wa Mgodi wa Buzwagi akizungumza na waandishi wa habari (hawapo
pichani) mara baada ya kukabidhi hundi timu ya Ambassador FC.
Katibu wa timu ya Ambassador FC, Bakari Khalid akizungumza mara baada ya kukabidhiwa hundi na Uongozi wa Mgodi wa Buzwagi.
Baadhi
ya wafanyakazi wa mgodi wa Buzwagi katika hafla ya makabidhiano ya
hundi kwa timu ya Ambassador kwa ajili ya maandalizi ya ligi daraja la
pili mkoa wa Shinyanga.
Vikosi vya timu za Buzwagi fc na Ambassador vikiwa katika maandalizi wakati wa ukaguzi kabla ya kuanza kwa mhezo.
No comments:
Post a Comment