CHUO CHA KODI CHAIMARIKA KWA UMAHIRI WA MAFUNZO YA FORODHA NA KODI KIMATAIFA
Mkuu
wa Chuo cha Usimamizi wa Forodha na Kodi, Prof. Isaya Jairo akizungumza
na wandishi wa habari (hawapo picha) jijini Dar es Salaam juu ya
Mahafali ya nane yatakayofanyika katika Ukumbi wa Julius Nyerere tarehe
16 Januari mwaka huu, Mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Waziri wa Fedha na
Mipango, Dkt. Philip Mpango. Kutoka kushoto ni Makamu Mkuu wa Chuo
Usimamizi wa Forodha na Kodi, Dkt. Lewis Ishemoi na Bw. Charles Sabuni, Naibu mkuu wa Chuo (Mipango, Fedha na Utawala).
Waandishi
wa habari wakifuatilia kwa makini. Picha na Cathbert Kajuna.
---
Na Chalila Kibuda, Globu ya jamii.
CHUO cha Kodi kimeweza kupata hadhi kuwa kituo cha Umahiri wa Mafunzo
ya Forodha na Kodi kimataifa.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo, Mkuu wa
Chuo cha Kodi, Profesa Issaya Jairo amesema wakati wakielekea katika
mahafali ya nane chuo kimeweza kufikia hadhi hiyo.
No comments:
Post a Comment