Header Ads

JUMUIYA YA KUINUA VIPAJI VYA KUHIFADHI QURAN JIMBO LA KIKWAJUNI YANDAA MASHINDANO MADOGO YA KUHIFADHI QURAN.

1
M.C Ustadh. Khamis Ameir akisoma utaratibu wa mashindano madoga ya kuinua vipaji ya kuhifadhi Quran ya Jimbo la Kikwajuni yaliyofanyika uwanja wa Alabama Michenzani Mjini Zanzibar.
2
Mwafunzi Ramla Khamsin Jafar wa madrasati Nurul-iman akionyesha jitihada zake katika mashindano ya kuhifadhi yaliyofanyika ya Jimbo la Kwahini. Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar.
3
Baadhi ya washiri wa mashindano hayo wakifuatilia kwa kina mashindano hayo.
4
Jaji kiongozi Abushayth Daud Mohudhar akitoa matokeo ya mashindano hayo.
5
Mgeni rasmin Mbunge wa Kikwajuni Mh. Hamad Yussuf Masauni akimkabidhi zawadi mshindi wa juzuu tano Fauzia Said Ali wa Madrasat Akhlaq, pesa taslim shiling 100000.
6
Mgeni rasmin, ambae pia ni mzamini wa Mashindano madogo ya kuinua vipaji vya kuhifandi Quran Mbunge wa Jimbo la Kikwajuni Mh. Hamad Yussuf Masauni akitoa nasaha zake mara baada ya kushuhudia mandano ya kuhifandi Quran yaliyoshirikisha wanafunzi kutoka vyuo vinane vya jimbo la kikwajuni. (kulia) Mwakilishi wa Jimbo la Rahaleo Nassor Salim (Aljazira) na kushoto ni Mwenyekiti wa mashindano hayo Khamis Said Ali
7
Mbunge wa Kikwajuni Mh. Hamad Yussuf Masauni (kulia) akiwa na mwenyeji wake Mwenyekiti wa Mashinda hayo Ustahd Khamis Said Ali wakitikia dua mara baada ya kumalima mashindo hayo. Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar.

No comments:

Powered by Blogger.