TIMU YA WATU 39 KUTOKA AFRIKA KUSINI WAPNDA MLIMA KILIMANJARO KUCHANGISHA FEDHA KWA AJILI YA KUSAIDIA KUNUNUA TAULO MAALUMU KWA WASICHANA WALIOPO MASHULENI PINDI WAWAPO KATIKA HEDHI.
![]() |
Muigizaji maarufu wa filamu,Jack Devnarain akijulikana kama Rajesh Kumar katika tamthiliya ya Isidindo the Need akiwasili katika lango la Marangu tayari kuanza kupanda Mlima Kilimanjaro. |
![]() |
Mhifadhi mkuu Hfadhi ya Taifa ya Mlima Kilimanjaro,Erastus Rufunguro akizungumza wakati akitoa historia fupi ya hifadhi ya mlima Kilimanjaro. |
![]() |
Baadhi ya washiriki katika changamoto hiyo. |
![]() |
Baadhi ya washiriki katika changamoto hiyo. |
![]() |
Katibu tawala wilaya ya Moshi ,Remida Ibrahim akizungumza kwa niaba ya mkuu wa wilaya katika hafla fupi iliyoandaliwa kwa ajili ya wageni hao kabla ya kuanza safari ya kupanda Mlima Kilimanjaro. |
No comments:
Post a Comment