Mkurugenzi
wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu Dr. Helen Kijo-Bisimba, mgeni
rasmi Mhe. Jaji mstaafu Thomas Mihayo, Mwenyekiti wa bodi ya LHRC Prof.
Geofrey Mmari, Dr. Khoti Kamanga na mkurungenzi wa idara ya Utetezi na
Maboresho Wakili Harold Sungusia wakifuatilia kwa umakini maelezo juu ya
matumizi ya KANZIDATA (DATA BASE) ya KATIBA |
No comments:
Post a Comment