Header Ads

ZIARA YA WAZIRI MKUU PINDA WILAYANI RUNGWE MKOANI MBEYA

mw4 
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiweka jiwe la Misingi  la ujenzi wa nyumba za  watunmishi wa Halmashauri ya  Busokeleo wilayani Tukutu  unaofanywa na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) katika kijiji cha Rungwa akiwa katika ziara ya mkoa wa Beya Februari 27, 2015. Wapili kushoto ni mkewe Tunu. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
mw1 
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akigua nyumba zinazojengwa na Shirikal la Nyumba la Taifa (NHC) karika kijiji cha Rungwa kwa ajili ya watumishi wa Halmashauri ya Busokelo wilayani Rungwe akiwa katika ziara ya mkoa wa Mbeya Februari 27, 2015. Watatu kushoto ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Mark Mwandosy na wapili kushoto ni Mkurugenzi wa NHC, Haikaman Mlekio. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)mw2 
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akiweka jiwe la msingi  la mradi wa umwagiliaji wa Katerantamba katika halmashauri ya  Busokeleo wilayani rungwe akiwa katika ziara ya mkoa wa beya Februari 28, 2015.
 mw5 
Mke wa Waziri Mkuu, Mamam Tunu Pinda akivalishwa kitenge na bibi Hilda Mwasikili katika mkutano wa hadhara uliohutubiwa na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda mjini Tukuyu Februari 27, 2015.

No comments:

Powered by Blogger.