Header Ads

WALITUMWA AU VIMETOKA MIOYONI MWAO.?


























 'Na hili ni bango la pili la Maskani ya Kisonge'


Haya ni mabango yenye ujumbe mmoja lakini kwa nyakati na siku tofauti kuhusiana na kifo cha Al Marhuum Salmin Awadh Salmin aliyekuwa Mwakilishi wa Jimbo la Magomeni (CCM) na muasisi wa hoja binafsi ya kuvunjwa kwa serikali ya umoja wa kitaifa Zanzibar ambayo sasa inakamilisha miaka mitano. Salmin alifariki ghafla Mjini Unguja tunamuombea kwa Mola apumzike kwa amani na Allah aipokee na kuilaza roho na kiwiliwili chake kwa utulicu. Amin

No comments:

Powered by Blogger.