Gharama za kuunganisha umeme shilingi 177,000. Atakayetoza zaidi ya hapo kufikishwa polisi - Ndassa
Meneja Miradi kutoka Shirika la
Umeme Nchini (Tanesco) Mhandisi Khalid James (kulia) akiieleza Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini hatua iliyofikiwa ya ujenzi wa miundombinu ya umeme katika mikoa ya
Iringa, Dodoma, Singida hadi Shinyanga inayosimamiwa na Wakala wa Nishati
Vijijini (REA) Awamu ya Pili. Kamati ya
Bunge inafanya ziara katika
mikoa ya Dodoma, Singida, Arusha
na Kilimanjaro kwa
ajili ya
kukagua miradi ya umeme
ili kujionea maendeleo yake
pamoja na kuzungumza na wananchi
Meneja Miradi kutoka Shirika la
Umeme Nchini (Tanesco) Mhandisi Khalid James (katikati) akitoa maelezo mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini kuhusu maendeleo ya ujenzi wa njia kuu za umeme
unaofanywa na kampuni ya Jyoti
Structures Limited kutoka India katika eneo la Nara mkoani Dodoma
Moja ya mrara kwa ajili ya
njia kuu ya umeme ikiwa chini ya ujenzi unaosimamiwa na kampuni ya Jyoti Structures
Limited kutoka India. Nguzo moja inagharimu
shilingi milioni 200.
No comments:
Post a Comment