Header Ads

WAKUNGA WA JADI WATAKIWA KUSHIRIKIANA NA WATALAM WA AFYA ZANZIBAR


th1 
Mmoja wa wakunga wa jadi Bi. Namboto Sheha Kombo akielezea jinsi  wanavyofanya kazi zao za ukunga katika mkutano uliofanyika Hospitali ya Kivunge Mkoa wa kaskazini “A” Unguja.
th2 
Naibu Waziri wa Afya Zanzibar Mahamoud Thabit Kombo akizungumza na
  wakunga wa jadi, na kuwataka washirikiane na watalaam wa Afya katika kazi zao ili kupunguza vifo vya Akinamama na watoto. th3 
Msaidizi daktari dhamana Hospitali ya Muembe ladu Ruzuna A.M. Shamte
akifahamisha kitu katika mkutano wa wakunga wa jadi na watalam wa afya huko Kivunge Mkoa wa kaskazini “A” Unguja. th4 
Baadhi ya Wakunga wa Jadi na watalam wa Afya waliofika katika
mkutano wa kukuza mashirikiano huko Kivunge Mkoa wa kaskazini “A” Unguja wakimsikiliza Naibu Waziri wa Afya Zanzibar Mahamoud Thabit Kombo (hayupo pichani) alipokuwa akizungumza nao. th6 
Dkt. Dhamana Hospitali ya Kivunge Khamis Hamad Ali akitoa nasaha zake katika mkutano wa Wakunga wa Jadi na watalam wa Afya wa kukuza mashirikiano katika kufanya kazi zao. Picha na Makame Mshenga- Maelezo Zanzibar.

No comments:

Powered by Blogger.