Header Ads

KINANA ATOA USHAURI KWA KATIBU MKUU KIONGOZI KUWASIMAMISHA MARA MOJA VIONGOZI WALIOTAJWA KWENYE SAKATA LA ESCROW .



Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana akimwagilia maji zao la  nyanya la vijana wajasiriamali wa CCM katika Kijiji cha Nkulabi, Mpunguzi, Dodoma. Kinana aliwapongeza vijana hao wanne kwa kuamua kuanzisha shamba hilo ambalo mazao yake yanawasaidia kujikimu kimaisha.Kinana aliwataka vijana wengine kuiga mfano huo.

Copy and WIN : http://bit.ly/copynwin
 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akiwa amebeba maji kwenye madumu aliposhiriki umwagiliaji maji katika
 shamba la nyanya la vijana wajasiriamali wa CCM katika Kijiji cha Nkulabi, Kata ya Mpunguzi, Jimbo la Dodoma Mjini leo wakati wa ziara yake,Kinana yupo mkoani Dodoma kwa ziara ya siku tisa ya kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi, kuimarisha uhai wa chama na kusikiliza kero za wananchi pamoja na kuzitafutia ufumbuzi.

Copy and WIN : http://bit.ly/copynwin
 , akishiriki kuchimba mtaro wa mradi wa maji katika Kata ya
 Nzuguni

Copy and WIN : http://bit.ly/copynwin
 Kinana akishiriki ujenzi wa chumba cha darasa katika Shule
 ya Sekondari Lukundo mjini Dodoma leo. 
Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana akihutubia katika
 mkutano wa hadhara mjini Dodoma, ambapo ametoa ushauri kwa Katibu Mkuu Kiongozi, kuwasimamisha mara moja watumishi wanaotajwa kwenye sakata la Escrow kama CCM ilivyowasimamisha viongozi watatu waliotajwa kwenye sakata hilo.

Copy and WIN : http://bit.ly/copynwin
 Baadhi ya Wanahabari kutoka vyombo mbalimbali wakiwajibika.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia
 wakazi wa Dodoma mjini kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye viwanja vya  Barafu,Nape aliwaambia wakazi hao kuwa makini na wapinzani kwani wamekuwa wakihangahika na fedha za wafadhili ambazo hawaitakii mema nchi yetu.
 Baadhi ya wanachama wapya waliojunga na CCM wakila
 kiapo  wakati wa mkutano huo

Copy and WIN : http://bit.ly/copynwin
 Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana (wa tatu shoto) akiongoza kula kiapo cha CCM wakati wa mkutano huo. 
  Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dodoma Ndugu Adam Kimbisa akiwahutubia wakazi wa Dodoma mjini kwenye mkutano wa
hadhara uliofanyika kwenye uwanja wa Barafu.
 Pichani ni baadhi ya Wafuasi wa chama cha CCM na wananchi wakishangilia jambo kwenye mkutano huo.

No comments:

Powered by Blogger.