HOSPITALI KUU YA MNAZI MMOJA YAZIDUA UPIMAJI, USIKIVU WA WATOTO WACHANGA.
Waziri
wa Afya wa Zanzibar Rashid Seif Suleiman akikata utepe kuzindua mpango
wa upimaji usikivu wa watoto wachanga katika hafla iliyofanyika
Hospitali Kuu ya Mnazimmoja Mjini Zanzibar, wa kwanza (kushoto)
mwakilishi wa WHO Zanzibar Dkt. Ghirmay Andemichael na (wakatikati)
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Afya Zanzibar Bi. Halima Maulid Salum.
Wafanyakazi
wa Afya waliopatiwa mafunzo maalum ya kuwapima usikivu watoto wachanga
wakimsikiliza Waziri wa Afya (hayupo pichani) katika uzinduzi huo.
Waziri
wa Afya Rashid Seif Suleiman akisitiza jambo wakati wa uzinduzi wa
kuwapima usikivu watoto wachanga. (kulia) Mkurugenzi wa Hospitali Kuu ya
Mnazimmoja Dkt. Jamala Adam Taib na (kushoto) Naibu Katibu Mkuu Wizara
ya Afya Zanzibar Bi. Halima Maulid Salum.
Baadhi
ya wageni walioalikwa katika uzinduzi wa kuwapima usikivu watoto
wachanga wakifuatilia uzinduzi huo uliofanyika Hospitali ya Mnazimmoja.
No comments:
Post a Comment