KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA AANZA ZIARA YAKE WILAYANI MPWAPWA MKOANI DODOMA LEO.
Katibu
Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana akiwahutubia wakazi wa Mpwapwa mapema leo
katika mkutano wa hadhara uliofanyika uwanja wa Mashujaa mjini
Mpwapwa.Kinana ameanza ziara ya siku 9 mkoani Dodoma ya Kuiarisha uhai
wa chama,kukagua,kuhimiza utekelezaji wa Ilani ya uchaguzi 2010 pamoja
na kusikiliza kero za Wananchi na kuzitafutia ufumbuzi.
Baadhi
ya Wananchi na wanachama wa CCM,wakishangilia jambo walipokuwa
wakimsikiliza Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana alipokuwa akiwahutubia
katika uwanja wa Mashujaa,wilayani Mpwapwa leo jioni
Baadhi
ya Wananchi na wanachama wa CCM,wakishangilia jambo walipokuwa
wakimsikiliza Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana alipokuwa akiwahutubia
katika uwanja wa Mashujaa,wilayani Mpwapwa leo jioni
Wakazi
wa Mpwapwa wakimsikiliza Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana mapema leo
katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye uwanja wa Mashujaa mjini
Mpwapwa
Katibu
wa NEC Itikadi na Uenezi-Taifa,Nape Nnauye akiwahutubia wakazi wa
Mpwapwa mapema leo katika mkutano wa hadhara uliofanyika uwanja wa
Mashujaa mjini Mpwapwa mkoani Dodoma.
Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana akizungumza na Wananchi wa kijiji cha Berege,wilaya ya Mpwapwa.
Katibu
Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana akishiriki ujenzi wa mifereji
ya umwagiliaji
katika shamba la Umwagiliaji katika kijiji cha Msagali kata ya
Chunyu.Kinana alikagua na kushiriki ujenzi wa ukarabati wa miundombinu
ya umwagiliaji skimu ya Msagali
Katibu
Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana akiwa sambamba na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa
Dodoma,Mh.Adam Kimbisa wakishiriki ujenzi wa Zahanati katika kijiji cha
Kisoke,Wilaya ya Mpwapwa,mkoani Dodoma
Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana akizindua na kushiriki ujenzi wa ofisi ya tawi la CCM wilaya ya Mpwapwa.
mtaro alipokwenda
kukagua na kushiriki kulima katika shamba la mkulima bora wa mwaka
2014,Bi.Anna Mlewa katika kijiji cha Berege,wilaya ya Mpwapwa.
Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana akikatiza kwenye moja ya
Sehemu ya ujenzi na ukarabati wa mfereji wa umwagiliaji
Pichani
Kati ni Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana akiwa ameongoza na Mkulima bora
wa mwaka 2014,Bi.Anna Mlewa na Mumewe pichani kulia,ambapo Ndugu Kinana
alikwenda kukagua na kushiriki kulima katika shamba la mkulima huyo
katika kijiji cha Berege,wilaya ya Mpwapwa.
Katibu
Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana (wa tatu kushoto) akishiriki kulima shamba la
karanga la Mkulima bora wa mwaka 2014 mkoa wa Dodoma,Bi.Anna Mlewaka
katika kijiji cha Berege Wilayni Mpwapwa mkoani Dodoma.Mkulima huyo
alieleza mbele ya Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana kuwa 2012/13
alifanikiwa kulima ekari 30 na kuzalisha kiasi cha gunia 300 za
mtama,mnamo mwaka 2014 alihamasika kuongeza eneo kufikia ekari 130
ambazo alizalisha gunia 650.Mkulima huyo alisema kuwa mpaka sasa
amefanikiwa kununua power tiller 1,ameanzisha biashara ya duka na
mashine ya kusaga,anasomesha watoto shule ya msingi,sekondari na chuo.













No comments:
Post a Comment