Ziara ya Waziri Simbachawene Mtwara na Lindi
Katibu
Tawala wa Mkoa wa Mtwara, Alfred Luanda (aliyesimama), akiwasilisha
taarifa fupi ya hali ya mmomonyoko wa ardhi uliosababisha mazingira ya
hatari kwa Kiwanda cha kuchakata gesi asilia cha Maurel & Prom
Tanzania (M&P), kilichopo Mnazi Bay – Mtwara. Wanaosikiliza ni
Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene (wa tatu kutoka
Kushoto), Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Halima Dendegu (katikati), na baadhi
ya Maafisa wa Wizara ya Nishati na Madini walioongozana na Waziri.
Sehemu ya Mtambo wa kuchakata gesi asilia wa Madimba – Mtwara.
Waziri
wa Nishati na Madini, George Simbachawene, akikagua sehemu ya Mtambo wa
kuchakata gesi asilia wa Madimba – Mtwara wakati wa ziara aliyoifanya
mwanzoni mwa wiki mkoani humo.
Matanki
ya kuhifadhia maji kwa ajili ya matumizi mbalimbali, yaliyopo katika
eneo la Mtambo wa kuchakata gesi asilia wa Madimba – Mtwara. Katika
ziara yake mtamboni hapo, Waziri wa Nishati na Madini, George
Simbachawene aliagiza maji hayo yatumike pia kuwasaidia wananchi
wanaoishi maeneo jirani.
Waziri
wa Nishati na Madini, George Simbachawene (katikati) akiwa katika picha
ya pamoja na wafanyakazi wa Mtambo wa kuchakata gesi asilia wa Madimba –
Mtwara wakati wa ziara yak
No comments:
Post a Comment