Header Ads

ZIARA YA WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA WILAYANI KYELA

ky5 
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikagua ujenzi wa chelezo ya kuundia meli kwenye bandari ya Itungi,  Kyela akiwa katika ziara ya siku moja wilayani humo  Februari 26, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) ky8Mwendesha baiskeli akipita katika daraja la zamani la Mwaya wilayani Kyela huku wakitazama daraja jipya  (kulia) lilozinduliwa na Waziri Mkuu, Mizengo  Pinda Februari 26, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)ky3 
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akifungua ukumbi wa Halmashauri ya wilaya ya Kyela akiwa katika ziara ya mkoa wa Mbeya Februari  26, 2015. Wapili kulia ni mkewe Tunu na wapili kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Kyela anayeoondoka, Margareth Malanga. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)


  ky12 
Waziri Mkuu, Mizengo  Pinda akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Zamani wa Mbeya Mzee  John Mwakipesile baada ya kuwasili kwenye  makazi ya  Mkuu wa Wilaya ya Kyela kwa ziara ya siku moja wilayani humo Februari 26, 2015. (Picha na ofisi ya Waziri Mkuu) ky15Wanafunzi wakimpungia mkono Waziri Mkuu Mizengo Pinda hayupo pichani ky16 
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akisalimiana  na  Katibu wa CAHDEMA wa kata ya Mwaya, Ageni Pamesa  kabla ya kufungau maabra ya  shule ya sekondari ya  Mwaya akiwa katika ziara ya Mkoa wa  Mbeya Februari 26, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri  Mkuu) ky17 
Waziri  Mkuu, Mizengo Pinda  na mkewe Tunu (wapili kulia) akitazama mafunzo kwa vitendo wakati alipokagua maabara ya Kemia katika shule ya seondari ya Mwaya wilayani Kyela Februari 26, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Powered by Blogger.