Header Ads

Photos Ministry Of Foreign Affairs and International Cooperation: Tanzania and Iran signed a Memorandum of Understanding for cooperation at the end of a two-day visit by Iranian Foreign Minister, Hon. Mohammad Javad Zarif.


 Hon. Bernard K. Membe (MP), Minister for Foreign Affairs and International Cooperation together with his Iranian counterpart Hon. Mohammad Javad Zarif signing an agreement on Promotion and Protection of Investment between the two countries. The signing ceremony took place at Serena Hotel in Dar es Salaam during a two-day visit to Tanzania by Hon. Zarif.
 The signing continues while Officers from Iran and Tanzania facilitates the Ministers. Standing right is Mr. Gerald Mbwafu, Foreign Service Officer in the Ministry of Foreign Affairs and International Cooperation
 Hon. Membe and Hon.Zarif exchanging the agreement
 Hon. Membe gives his remarks during a joint press conference held at Serena Hotel.
 Hon. Zarif  speaking to Journalists (not in the photo)
 Ambassador Simba Yahya (C), Director of the Middle East Department in the Ministry of Foreign Affairs and International Cooperation and Assistant Director in the same Department, Mr. Elibariki Maleko (R) during a joint press conference between Hon. Membe and Hon. Zarif.
 Another section of  delegates from both countries during a joint press conference.
 Hon. Membe in official talks with Hon. Zarif, mainly on strengthening bilateral relations between Tanzania and Iran
Hon. Zarif (4th from right) leading the Iranian delegation during official talks
--
UNITED REPUBLIC OF TANZANIA 
MINISTRY OF FOREIGN AFFAIRS AND INTERNATIONAL COOPERATION
 Tanzania and Iran today signed a Memorandum of Understanding for cooperation at the end of a two-day visit by Iranian Foreign Minister, Hon. Mohammad Javad Zarif.





read more

DSC_0252
Baadhi ya washiriki wa warsha ya siku moja iliyoendeshwa na kampuni ya NFT Consult kwa maofisa rasilimali watu na watoa mafunzo kutoka makampuni mbalimbali nchini wakifanya usajili kabla ya kuanza kwa warsha hiyo.(Picha zote na Zainul Mzige wa modewjiblog).
Na Mwandishi wetu

MOJA ya makampuni makubwa yanayoshughulika na ushauri wa jinsi ya kuongeza ufanisi katika maeneo ya kazi, NFT Consult wameendesha kongamano kubwa la kutambua haja ya mahitaji ya wadau mbalimbali wa maendeleo hapa nchini.

Kampuni hiyo ya kimataifa ambayo imeingia nchini mwaka 2010 ikiwa na matawi Uganda, Kenya, Tanzania, Rwanda, Burundi na Sudan Kusini imesema kongamano hilo limelenga kuonesha uwezo wao katika kubadili mifumo ya utendaji kazi.

Ofisa Mtendaji wa kampuni hiyo, Badru Ntege amesema kwamba wamekuwa wakiendesha mafunzo mbalimbali yenye kueleza thamani ya mfanyakazi na mdau wowote ambapo uthamini wa wadau ndio unaotoa mwanya wa mabadiliko chanya yanayotakiwa
“Mafanikio ya eneo lolote lile linatokana na wadau kusikiliza wenzao na kisha kufanyia kazi kauli za upande wa pili.” Alisema Ntege.
DSC_0361
Timu ya NFT Consult ikijitambulisha kwa washiriki kabla ya kuanza warsha hiyo. Kutoka kushoto ni Inside Business Partner wa NFT Consult, Aisu Mori, Client Partner wa NFT Consult, Immaculate Mwaluko, Ofisa Mtendaji mkuu wa kampuni ya NFT Consult, Badru Ntege, Meneja biashara mkazi wa NFT Consult/Franklin Covey Tanzania, Joan Ajilong na Client Partner wa NFT Consult, Sophia Shuma.
read more
  Mhariri Mtendaji wa Kampuni ya Magazeti ya Serikali,  Bwana Gabriel Lyimo Nderumaki ( wa pili kutoka kushoto) akielezea masuala mbali mbali yanayohusu tasinia ya habari wakati wa mkutano na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye uliofanyika kwenye ofisi za Kampuni ya Magazeti ya Serikali,Tazara jijini Dar es Salaam.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza wakati wa kikao chake na Viongozi na waandishi wa Magazeti ya Serikali alipowatebelea jana ikiwa sehemu ya utaratibu wake wa kutembelea vyombo vya habari.
read more

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Eng. Stella Manyanya kulia akihutubia katika maadhimisho ya siku ya sheria nchini Mkoni Rukwa  tarehe 04/02/2015 katika viwanja vya Mahakama Kuu Kanda ya Sumbawanga. Kaulimbiu ya maaadhimisho hayo ikiwa "Fursa ya kupata haki: Wajibu wa Serikali, Mahakama na Wadau". Katika hotuba yake hiyo alisema ipo haja kubwa kwa Serikali kubadili sheria zake ili lugha ya mahakamani na hukumu ziandikwe kwa kiswahili. Kwa upande wa wananchi aliwaasa kujiepusha na tabia ya kujichukulia sheria mkononi ili kudumisha amani nchini.
Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu Kanda ya Sumbawanga Mhe. Jaji Sambo akipokea gwaride la heshima kutoka kwa kikosi cha Jeshi la Polisi wakati wa maadhimisho ya siku ya Sheria Mkoani Rukwa  tarehe 04/02/2015.
Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu Kanda ya Sumbawanga Mhe. Jaji Sambo katikati akisoma hotuba yake ya maadhimisho ya siku ya sheria Mkoani Rukwa ambapo aliwataka mahakimu wote Mkoani Rukwa kutimiza majukumu yao ipasavyo kwa mujibu miongozo ya mahakama ili kusaidia uharakishwaji wa utoaji haki kwa wananchi kwa wakati. Aliwaeleza pia wadau wote wa sheria wakiwepo mawakili wa kujitegemea kuwa mashauri yote ya kesi yatakua yakisimamiwa na kutolewa maamuzi na mahakama na sio mawakili kutaka kuingilia utendaji wa mahakama.
read more
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dkt. Seif Rashid (kushoto)akiteta jambo na Mbunge wa Mbozi Mashariki Godfrey Zambi.
 Waziri Mkuu Mizengo Pinda akijibu maswali ya wabunge ya papo kwa papo Bungeni, Dodoma.
 Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Pereira Ame Silima akijibu swali Bungeni.
 Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Huduma za Jamii,  Margareth Sitta akiwasilisha taarifa ya kamati yake.
 Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Anne Kilango Malecela
 Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mahmoud Mgimwa akijibu swali bungeni.
 Mbunge wa Mbinga Magharibi, Kapteni John Komba akichangia taarifa ya kamati
 Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Maendeleo ya Jamii, Saidi Mtanda akiwasilisha taarifa ya kamati.
 Mbunge wa Viti Maalum (CCM) Al- Shaymaa Kwegyir akichangia taarifa ya kamati
read more

 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye akikabidhi funguo za trekta kwa Mwalimu wa Shule ya msingi Kwadelo Bw. Hamza Haji, matrekta saba yalikabidhiwa Jana kwa wakulima chini ya usimamizi wa Diwani wa Kwadelo Alhaji Omari Kariati
read more

Meneja wa Skylight Band, Aneth Kushaba AK47 akiimba kwa hisia kali wakati akitoa burudani kwa mashabiki wa bendi hiyo (hawapo pichani) Ijumaa iliyopita ndani ya kiota cha Thai Village, Masaki jijini Dar
Binti mwenye sauti ya kumtoa Nyoka pangoni, Ashura Kitenge akitoa burudani kwa mashabiki wa Skylight Band (hawapo pichani) ndani ya kiota cha Thai Village, Masaki jijini Dar es Salaam Ijumaa iliyopita huku akipewa sapoti na Meneja wa Skylight Band, Aneth Kushaba AK47 pamoja na Kisura mwingine wa Skylight Band anayefamika kwa jina la Baby.
Tukutane baadae tupunguze stress za wiki nzima kwa burudani iliyoenda shule na sehemu ya watu wastaarabu kama kawaida na mtonyo wetu ule ule getini.
Msanii wa Skylight Band Joniko akiendelea kutoa burudani huku vijana wa Skylight Band wakitimua vumbi jukwaani wakiongozwa na Sony Masamba ndani ya kiota cha Thai Village, Masaki jijini Dar
Binti mwenye sauti ya kumtoa Nyoka pangoni, Ashura Kitenge akiimba kwa hisia kali mbele ya mashabiki wa Skylight Band(hawapo pichani) ndani ya kiota cha Thai Village, Masaki jijini Dar
Meneja wa Skylight Band, Aneth Kushaba AK47 akiimba uku akipewa support ya nguvu na Binti mwenye sauti ya kumtoa Nyoka pangoni, Ashura Kitenge( wa kwanza kushoto), Sam Mapenzi (wa pili kutoka kulia) pamoja na John Music ndani ya kiota cha Thai Village, Masaki jijini Dar
Sony Masamba akiendelea kuimba masebene ya nguvu huku akipewa support na Majembe ya Skylight Band yaliyojimwaga kwenye stage
Waimbaji wa Skylight Band yakijimwaga na sebene jukwaani kwenye show za bendi hiyo zinazofanyika kila Ijumaa ndani ya kiota cha Thai Village, Masaki jijini Dar.
Msanii wa Skylight Band John Music akitoa burudani ya nguvu ndani ya kiota cha Thai Village Ijumaa iliyopita.
read more


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Dkt. Hamisi Hassan Mwinyimvua(pichani) kuwa Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Fedha, anayesimamia Menejimenti ya Fedha za Umma (Public Finance Management).

Kabla ya uteuzi wake, Dkt. Mwinyimvua alikuwa Msaidizi wa Rais wa muda mrefu wa masuala ya uchumi.

Taarifa iliyotolewa na Ofisi ya Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Yohana Sefue leo, Jumatatu, Februari 2, 2015, imesema kuwa uteuzi wa Dkt. Mwinyimvua ulianza Jumamosi, Januari 24, 2015.

Dkt. Hamisi Hassan Mwinyimvua ni mwanataaluma mwenye ujuzi na uzoefu mkubwa katika uchumi.

Anayo shahada ya kwanza ya B.A. (Econ) ya Uchumi kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (1986), Shahada ya Uzamili ya M.A. (Econ) ya Uchumi kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (1988) na Shahada ya Uzamivu ya PhD ya uchumi kutoka vyuo vikuu vya Dar es Salaam na Lund cha Sweden.

Dkt. Mwinyimvua amekuwa mhadhiri wa miaka mingi katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ambako amepanda daraja kutoka Tutorial Assistant, mwaka 1986-1988, Mhadhiri Msaidizi, mwaka 1988-1996, Mhadhiri, mwaka 1996-2005, Mhadhiri Mwandamizi, mwaka 2005-2006 na Mkuu wa Idara ya Uchumi ya chuo hicho mwaka 2006.

Dkt. Mwinyimvua aliteuliwa kuwa Msaidizi wa Rais, Uchumi, mwaka 2006, nafasi ambayo ameishikilia hadi mwaka huu, 2015.

Imetolewa na: 
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu,
DAR ES SALAAM.




Sikiliza Clouds FM LIVE

Nifwate Kwenye Twitter

Sheria Ngowi Designs Online Bookings

Google+ Badge

Google+ Followers

Followers

Translate

  Powered by Translate

Blackberry Application


A.V.I.D

Follow by Email

Blog Archive

 Hon. Membe and Hon.Zarif exchanging the agreement
 Hon. Membe gives his remarks during a joint press conference held at Serena Hotel.
 Hon. Zarif  speaking to Journalists (not in the photo)

 Ambassador Simba Yahya (C), Director of the Middle East Department in the Ministry of Foreign Affairs and International Cooperation and Assistant Director in the same Department, Mr. Elibariki Maleko (R) during a joint press conference between Hon. Membe and Hon. Zarif.
 Another section of  delegates from both countries during a joint press conference.
 Hon. Membe in official talks with Hon. Zarif, mainly on strengthening bilateral relations between Tanzania
and Iran
Hon. Zarif (4th from right) leading the Iranian delegation during official talks
--
UNITED REPUBLIC OF TANZANIA 
MINISTRY OF FOREIGN AFFAIRS AND INTERNATIONAL COOPERATION
 Tanzania and Iran today signed a Memorandum of Understanding for cooperation at the end of a two-day visit by Iranian Foreign Minister, Hon. Mohammad Javad Zarif.

No comments:

Powered by Blogger.