Mwenyekiti wa CCM wa tawi la Texas, Houston nchini Marekani, Simon Makangula amehukumiwa kifungo cha mwaka mmoja na nusu jela na kulipa faini ya zaidi ya Sh92.4 milioni kwa kosa la kughushi nyaraka za ulipaji wa kodi.

Mwenyekiti wa CCM wa tawi la Texas, Houston nchini Marekani, Simon Makangula (katikati). Picha ya Mtandano
---
Mwenyekiti wa CCM wa tawi la Texas, Houston nchini Marekani,
Simon Makangula amehukumiwa kifungo cha mwaka mmoja na nusu jela na
kulipa faini ya zaidi ya Sh92.4 milioni kwa kosa la kughushi nyaraka za
ulipaji wa kodi.
No comments:
Post a Comment