MAKAMU WA PILI WA RAIS WA ZANZIBAR BALOZI SEIF ALLY IDD AHUDHURIA SHEREHE ZA MIAKA 50 YA CBE


Makamu
wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ally Idd akipata maelezo kutoka
kwa Bi. Esther Kibua, mwanafunzi wa mwaka wa 3 wa chuo cha Elimu ya
Biashara CBE kampasi ya Dar es salaam juu ya namna chuo hicho
kinavyowaandaa kuitumia elimu wanayoipata chuoni hapo pindi
watakapomaliza masomo yao.
No comments:
Post a Comment