WAZIRI wa
Kazi na Ajira , Gaudensia Kabaka wakati alipokuwa akizindua kongamano lililoshirikisha wadau kutoka sekta mbalimbali kwa ajili ya
kujadili changamoto
wanazozipata wadau hao.
Mkurugenzi wa Veta, Mhandisi Zebadiah Moshi
akiwa anaongea katika kongamano hilo
wadau kutoka sekta ya gesi na petrol wakiwa
wanafatilia
katibu mkuu wa VET Pro.Sifuni Mchome akiwa
anawakilisha mada
waziri wa ajira na kazi
Gaudensia Kabaka akiwa katika picha ya pamoja wadau
waliouthuria katika konga mano
hilo
Wa kwanza kushoto ni mwakilishi wa Bg Tanzania Ms
Kate Sullam anaemfatia ni Mr Jean Van Wetter ni mkurugenzi wa VSO
Tanzania
waziri kabaka wa kwanza kulia
akifuatiwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Veta, Profesa
Idrissa Mshoro wakifuatilia kwa makini maelezo yaliyokuwa yanatolewa
na
Mkurugenzi wa Veta, Mhandisi Zebadiah Moshi ayupo pichani kuhusiana na
Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi
(Veta)
VETA WATAKIWA KUHAKIKISHA WANASIKILIZA MAONI YA WADAU WAO ILIKUJUA MAHITAJI YAO SANJARI NA KUBADILISHA MITAALA YA ELIMU
Reviewed by
crispaseve
on
5:18 AM
Rating:
5
No comments:
Post a Comment