Header Ads

VETA WATAKIWA KUHAKIKISHA WANASIKILIZA MAONI YA WADAU WAO ILIKUJUA MAHITAJI YAO SANJARI NA KUBADILISHA MITAALA YA ELIMU

WAZIRI wa Kazi na Ajira , Gaudensia Kabaka  wakati alipokuwa akizindua kongamano lililoshirikisha wadau kutoka sekta mbalimbali kwa ajili ya kujadili changamoto wanazozipata wadau hao.
 Mkurugenzi wa Veta, Mhandisi Zebadiah Moshi akiwa anaongea katika kongamano hilo

wadau kutoka sekta ya gesi na petrol wakiwa wanafatilia

katibu mkuu wa  VET Pro.Sifuni Mchome akiwa anawakilisha mada



waziri wa ajira na kazi  Gaudensia Kabaka akiwa katika picha ya pamoja wadau waliouthuria katika  konga mano hilo
Wa kwanza kushoto ni mwakilishi wa Bg Tanzania Ms Kate Sullam anaemfatia ni Mr Jean Van Wetter ni mkurugenzi wa VSO Tanzania
 waziri  kabaka  wa kwanza kulia akifuatiwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Veta, Profesa Idrissa Mshoro wakifuatilia kwa makini maelezo yaliyokuwa yanatolewa na Mkurugenzi wa Veta, Mhandisi Zebadiah Moshi ayupo pichani kuhusiana na Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (Veta)

No comments:

Powered by Blogger.