DK. REGINALD MENGI AZINDUA TASWE SACCOSS JIJINI DAR

Keki ya Tanzania Saccos For Women Entrepreneurs ( TASWE - Saccoss), 'WEKEZA UVUNE'
Mwenyekiti
Mtendaji wa IPP Media, Dk. Reginald Mengi akikata utepe kuashiria
uzinduzi wa Tanzania Saccos For Women Entrepreneurs ( TASWE - Saccoss)
uliofanyika katika ukumbi wa St. Peter's jijini Dar es Salaam. Kulia ni
Mwenyekiti wa Tanzania Saccos For Women Entrepreneurs (TASWE -
Saccoss), mama Anna Matinde na Balozi Mdogo wa India, Baluinder Humpal.
Picha zote na Cathbert Angelp Kajuna wa Kajunason Blog.
Mwenyekiti Mtendaji wa IPP Media, Dk. Reginald Mengi akishirikiana na Balozi Mdogo wa India, Baluinder Humpal.

Mwenyekiti Mtendaji wa IPP Media, Dk. Reginald Mengi akikabidhiwa zawadi kwa mchango wake anaoutoa katika jamii.

Mwenyekiti Mtendaji wa IPP Media, Dk. Reginald Mengi akiongea machache.
Mwenyekiti
wa Tanzania Saccos For Women Entrepreneurs ( TASWE - Saccoss), mama
Anna Matinde alisema "Tumeanzisha Saccos hii ili kupambana na changamoto
za upataji wa mikopo kwa riba kubwa na kuwajengea watanzania tabia ya
kuweka akiba.


No comments:
Post a Comment