Header Ads

DK. REGINALD MENGI AZINDUA TASWE SACCOSS JIJINI DAR

Keki ya Tanzania Saccos For Women Entrepreneurs ( TASWE - Saccoss), 'WEKEZA UVUNE'
Mwenyekiti Mtendaji wa IPP Media, Dk. Reginald Mengi akikata utepe kuashiria uzinduzi wa Tanzania Saccos For Women Entrepreneurs ( TASWE - Saccoss) uliofanyika katika ukumbi wa St. Peter's jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mwenyekiti wa Tanzania Saccos For Women Entrepreneurs (TASWE - Saccoss), mama Anna Matinde na  Balozi Mdogo wa India, Baluinder Humpal. Picha zote na Cathbert Angelp Kajuna wa Kajunason Blog.
Mwenyekiti Mtendaji wa IPP Media, Dk. Reginald Mengi akishirikiana na Balozi Mdogo wa India, Baluinder Humpal.
Mwenyekiti Mtendaji wa IPP Media, Dk. Reginald Mengi akikabidhiwa zawadi kwa mchango wake anaoutoa katika jamii.
Mwenyekiti Mtendaji wa IPP Media, Dk. Reginald Mengi akiongea machache.
Mwenyekiti wa Tanzania Saccos For Women Entrepreneurs ( TASWE - Saccoss), mama Anna Matinde alisema "Tumeanzisha Saccos hii ili kupambana na changamoto za upataji wa mikopo kwa riba kubwa na kuwajengea watanzania tabia ya kuweka akiba.

No comments:

Powered by Blogger.