Miss Tanzania 2014 asaidia kituo cha New Life Orphans Home,Boko jijini Dar

Miss
Tanzania Lilian Kamazima (kulia) akimkabidhi zawadi ya mwaka mpya
Msimamizi wa kituo cha kulelea watoto yatima cha New Life kilichopo
Boko, Mwanaisha Magambo kwa ajili ya watoto 102 waliopo kituoni hapo,
tukio hilo lilifanyika juzi.

Miss
Tanzania Lilian Kamazima (kulia) akiwa na Miss Kinondoni Maria Shila
wakiwa wamembeba mtoto aliekuwa kwenye kituo cha kulelea watoto yatima
cha New Life cha Boko, mtoto huyo alifikishwa hapo akiwa na siku nne tu
tangia kuzaliwa kwake.

Sehemu ya Watoto wanaolelewa katika kituo cha kulelea watoto yatima cha New Life kilichopo Boko,wakimsikiliza Miss Tanzania Lilian Kamazima.
No comments:
Post a Comment