Header Ads

KAJALA AKUNWA NA KUMWAGA MAHELA KWA WAIMBAJI WA SKYLIGHT BAND WANAOTOA BURUDANI KILA IJUMAA THAI VILLAGE, MASAKI


 DSC_0092
 Sam Mapenzi na Aneth Kushaba AK47 wakifanya yao jukwaani.
DSC_0121
nakupenda pia pia aha...Nakupenda pia...You make me wanna say....Nakupenda pia pia ahaa.....Vijana wakiwa kwenye hisia kali jukwaani.
DSC_0028
 Meneja wa Skylight Band Aneth Kushaba AK47 akitoa burudani kwa mashabiki wa bendi hiyo Ijumaa iliyopita ndani ya kiota cha Thai Village huku akipewa sapoti na Digna Mbepera.
DSC_0030
Digna Mbepera na Bela Kombo wakimpa back up Aneth Kushaba AK47 kwenye show zao za kila Ijumaa ndani ya viunga vya Thai Village Masaki jijini Dar.
DSC_0071
Majembe ya Skylight Band yakionyesha manjonjo yao jukwaani Ijumaa iliyopita ndani ya kiota cha Thai Village Masaki.
DSC_0082
Aneth Kushaba na Sam Mapenzi wakiwapa raha mashabiki wao huku Digna Mbepera na Bella Kombo.
DSC_0147
Pichani juu na chini ni mashabiki wa Skylight Band wakiserebuka mdogo mdogo.
DSC_0149
DSC_0158
Birthday girl nae hakubaki nyuma aliunga tela na kuburudika na Skylight Band.
DSC_0279
Msanii wa bongo movie Kajala akitembeza manoti ya wekundu wa msimbazi kwa waimbaji wa Skylight Band Ijumaa iliyopita alipokunwa na uimbaji wao.
DSC_0280
Kajala akizichomoa tu kwenye pochi lake.
DSC_0281
Joniko Flower akisubiria zamu yake.
DSC_0282
Joniko Flower akipokea manoti yake kutoka kwa Msanii wa bongo movie Kajala.
DSC_0283
Na kwa wale wasanii waliokuwa back stage pia walibahatika kujizolea manoti kutoka kwa Kajala.

No comments:

Powered by Blogger.