Header Ads

Rais Kikwete akutana na Rais Jose Eduardo Dos Santos wa Angola jijini Luanda leo


 Rais wa Angola Mhe. Jose Eduardo Dos Santo akimkaribisha Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete katika ikulu ya nchi hiyo jijini Luanda na kufanya naye mazungumzo leo. Rais Kikwete alikuwa nchini Angola kwa ziara ya kikazi ya siku moja
 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete  akiwa na mazungumzo na Rais wa Angola Mhe. Jose Eduardo Dos Santo  katika ikulu ya nchi hiyo jijini Luanda leo. .Rais Kikwete alikuwa nchini Angola kwa ziara ya kikazi ya siku moja
 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete  akibadilishana mawazo  na Rais wa Angola  Mhe. Jose Eduardo Dos Santo  katika ikulu ya nchi hiyo jijini Luanda wakati akihitimisha  ziara ya kikazi ya siku moja nchini humo.
 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete  akiagana na Rais wa Angola  Mhe. Jose Eduardo Dos Santo  katika ikulu ya nchi hiyo jijini Luanda wakati akihitimisha  ziara ya kikazi ya siku moja nchini humo.Picha na Freddy Maro

No comments:

Powered by Blogger.