Header Ads

Picha Kutoka IKULU-Zanzibar:Rais wa Zanzibar Dk Ali Shein Akutana Kwa Mazungumzo na Ujumbe wa Wahadhiri wa Chuo Kikuu cha Cairo IKULU Zanzibar

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein (kulia)akizungumza na Ujumbe wa Wahadhiri wa Chuo Kikuu cha Cairo, ulipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo asubuhi,(kushoto) Mshauri wa Rais mambo ya Nje ya nchi Balozi Mohamed Ramia Abdiwawa

No comments:

Powered by Blogger.