Header Ads

Picha:Viongozi mbalimbali wa Mkoa wa Mara wakiwa na majonzi wakati wakipokea mwili wa Mkuu wa Mkoa wa Mara, John Tuppa


Viongozi mbalimbali wa Mkoa wa Mara wakiwa na majonzi wakati wakipokea mwili wa Mkuu wa Mkoa wa Mara, John Tuppa  ulipofikishwa katika hospitali ya mkoa jana. baada ya kuanguka ghafla kutoka kwenye kiti alichoketi wakati akishiriki Kikao cha Kamati ya Ulinzi na Usalama Wilaya ya Tarime nakufariki . Picha na Florence Focus              

No comments:

Powered by Blogger.