Kutoka Gazeti la Mwananchi LEO:Aliyekua Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Mstaafu Joseph Sinde Warioba Warioba afunguka,atoa ufafanuzi wa baadhi ya hoja za taarifa yake

Aliyekua Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Mstaafu Joseph Sinde Warioba
--
Dar es Salaam. Wakati Ikulu ikitangaza kwamba
Rais Jakaya Kikwete amevunja Tume ya Mabadiliko ya Katiba, tume hiyo
imetoa ufafanuzi wa baadhi ya maeneo ya Rasimu ya Katiba.
No comments:
Post a Comment