Header Ads

Picha Kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu:Waziri Mkuu Mizego Pinda Ateta na Mbunge wa Bunge Maalum la Katiba, Kingunge Ngombale-Mwiru,Akutana na Viongozi wa Kampuni ya Africana Barrick Gold Tanzania



 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akiteta na Mbunge wa Bunge Maalum la Katiba, Kingunge Ngombale-Mwiru, Bungeni Mjini  Dodoma Machi 25, 2014.
 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Viongozi wa Kampuni ya Africana  Barrick Gold Tanzania, kwenye makazi yake mjini Dodoma  Machi 25,2014. Kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa Mawasiliano na Serikali (Director of Government Relations)), Balozi Emmanuel  Ole Naiko, Makamu wa Rais, Deo Mwanyika na Ofisa Mtendaji Mkuu (Chief  Executive Officer ), Brand Gordon. 

No comments:

Powered by Blogger.