Mgombea Ubunge wa Jimbo la Chalinze kwa tiketi ya CCM,Ridhiwani
Jakaya Kikwete akifurahia jambo na Mzee Joseph January wa Kijiji cha
Kisanda,Kata ya Talawanda ndani ya Jimbo la Chalinze.


Mgombea
Ubunge wa Jimbo la Chalinze kwa tiketi ya CCM,Ridhiwani Jakaya Kikwete
(kushoto) akiwahutubia wananchi wa kijiji cha Mindukene,Kata ya
Talawanda ndani ya Jimbo la Chalinze leo Machi 18,2014.Katika Mikutano
yake kwenye Vijiji vya Mindukene, Msigi na Kisanga ndani ya Jimbo
hilo,Ridhiwani Kikwete ameahidi kuhakikisha vijiji vyote kwenye jimbo
hilo vinakuwa na matrekta ili kuboresha kilimo.
Mgombea
Ubunge wa Jimbo la Chalinze kwa tiketi ya CCM,Ridhiwani Jakaya Kikwete
(kushoto) akiwahutubia wananchi wa kijiji cha Mindukene,Kata ya
Talawanda ndani ya Jimbo la Chalinze leo Machi 18,2014.Katika Mikutano
yake kwenye Vijiji vya Mindukene, Msigi na Kisanga ndani ya Jimbo
hilo,Ridhiwani Kikwete ameahidi kuhakikisha vijiji vyote kwenye jimbo
hilo vinakuwa na matrekta ili kuboresha kilimo.
Usikivu makini.
MwanaCCM akifatilia Mkutano kwa umakini.
PICHA KUTOKA KAMPENI ZA CCM CHALINZE:MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA CHALINZE KWA TIKETI YA CCM RIDHIWANI JAKAYA KIKWETE AMESEMA KILA KIJIJI NDANI YA JIMBO LA CHALINZE KUPATA TREKTA KWA AJILI YA KILIMO
Reviewed by
crispaseve
on
1:07 AM
Rating:
5
No comments:
Post a Comment