Header Ads

KAULI MBIU YA SIKU YA AFYA YA FIGO 13 MACHI



Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii,Seif Rashidi akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam, kuhusu  maadhimisho ya wiki ya  afya ya Figo itakayoanza tarehe 10 hadi 14, na kuadhimishwa kitaifa tarehe 13 mjini Dodoma katika viwanja vya Mwalimu Nyerere, kauli mbiu  ya maadhimisho hayo ni “Figo huzeeka , kadiri mtu anavyozeeka. Jali afya ya Figo zako”.( Lorietha Laurence-Maelezo)

No comments:

Powered by Blogger.