PROFESA MWANDOSYA ATINGA RWANDA NA UJUMBE WA RAIS KIKWETE KWA KAGAME
THE
UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
DIRECTORATE
OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
Telephone: 255-22-2114512,
2116898
Fax: 255-22-2113425
|
![]() |
PRESIDENT’S OFFICE,
THE
STATE HOUSE,
P.O. BOX
9120,
DAR ES SALAAM.
Tanzania.
|
TAARIFA
KWA VYOMBO VYA HABARI
Waziri
wa Nchi, Ofisi ya Rais, Kazi Maalum, Mheshimiwa Profesa Mark Mwandosya aliondoka
nchini juzi, Jumamosi, Februari 8, 2014, kwenda Rwanda kwa ziara ya wiki moja.
Akiwa
nchini Rwanda, Mhe. Mwandosya atapata nafasi ya kujifunza uzoefu wa nchi hiyo
kuhusu jinsi inavyopanga na kuendesha udhibiti wa huduma za kiuchumi na kijamii.
Imetolewa na:
Kurugenzi
ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu.
Dar
es Salaam.
10 Februari, 2014

No comments:
Post a Comment