Header Ads

ZITTO KABWE APOKELEWA KWA KISHINDO KIGOMA LEO.

Mbunge wa Kigoma kaskani Mh Zitto Kabwe akisalimiana na wakazi wa Kigoma mara baada ya Kuwasili kigoma mapema leo asubuhi, ambapo wakazi wa kigoma wamejitokeza kwa wingi kumpokea Mbunge wao.
 Zitto Kabwe akiwa katika gari la wazi mara baada ya kutua kigoma asubuhii ambapo amepata mapokezi ya kishindo.

No comments:

Powered by Blogger.