RATIBA YA SHUGHULI YA KUAGA MWILI WA DKT. SENGONDO MVUNGI KESHO
________________
MUDA 
 | 
  
TUKIO 
 | 
 
LEO, NOVEMBA 15, 2013 – UWANJA WA NDEGE WA MWALIMU JK
  NYERERE 
 | 
 |
Saa 12:50 jioni 
 | 
  
Kuwasili kwa
  mwili wa Marehemu – Uwanja wa Ndege wa Mwalimu JKN 
 | 
 
KESHO, NOVEMBA 16, 2013 – VIWANJA VYA KARIMJEE 
 | 
 |
Saa 2:00 – 3:30
  asubuhi 
 | 
  
Kuwasili kwa
  Wageni, Wananchi na Waombolezaji  
 | 
 
Saa 3:30 asubuhi 
 | 
  
Kuwasili Mwili
  wa Marehemu  
 | 
 
Saa 4:00 – 5:45 asubuhi 
 | 
  
Ibada ya Misa
  Takatifu, Viwanja vya Karimjee 
 | 
 
Saa 5:45 – 6:55
  mchana 
 | 
  
Salaam za
  Rambirambi na Neno la Shukurani 
 | 
 
Saa 6:55 – 8:40
  Mchana 
 | 
  
Kuaga Mwili wa
  Marehemu 
 | 
 
Saa 9:00 Alasiri 
 | 
  
Msafara kupeleka
  mwili wa marehemu Kibamba Msakuzi 
 | 
 
KESHO KUTWA, NOVEMBA 17, 2013 – NYUMBANI KWA MAREHEMU
  - KIBAMBA, MSAKUZI 
 | 
 |
Saa 2:30 – 4:30
  asubuhi 
 | 
  
Ibada ya Misa
  nyumbani kwa marehemu 
 | 
 
Saa 5:00 asubuhi 
 | 
  
Kuanza safari ya
  kwenda Chanjale, Kisangara Juu, Mwanga, Kilimanjaro 
 | 
 
No comments:
Post a Comment