UZINDUZI WA SIMBA TV WAFANA USIKU WA KUAMKIA LEO
Nianze nani kumlisha jamaani....! Mwenyekiiiiitiiiiiiiiii.
Mgeni rasmi,Naibu
Waziri wa Nchi,Ofis ya Waziri Mkuu,Tawala za Mikoa na serikali za Mitaa
(TAMISEMI),Kassim Majaliwa akikata keki huku sehemu ya meza kuu
ikishuhudia tukio hilo adhimu na ka kihistoria.
Mwenyekiti Msaidizi Simba SC Geofrey Nyange 'Kaburu' akizungumza wakati wa kuwakaribisha wageni waalikwa mbalimbali waliofika kwenye hafla hiyo usiku wa kuamkia leo.
Wadau na washabiki wa Simba wakiburudika na vinywaji taratiibu.
Kwa Chanzo na Picha Zaidi <<< BOFYA HAPA >>>





No comments:
Post a Comment