Header Ads

SEMINA YA WASHIRIKI WA MASHINDANO YA SAFARI LAGER NYAMA CHOMA

Jaji Mkuu wa Mashindano ya Safari Lager Nyama Choma, Dougals Sakibu. (kushoto) akizungumzia kuhusu semina ya baa 20 zitakazo shindanishwa katika Mkoa wa Dar es Salaam hivi karibuni. kulia ni Jaji Msaidizi wa mashindano hayo, Lawrence Salvi.
Baadhi ya washiriki wakiwa katika semina iliyowashirikisha wafanyakazi wa majiko ya baa 20 mkoa wa Dar es Salaam

No comments:

Powered by Blogger.