Kaimu
Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Sekta Binafsi (TPSF), Godfey Simbeye
(kulia) akimkabidhi Gadna Habash kiongozi wa Bendi ya Machozi, ya Judith
Wambura Lady Jay Dee, nembo ya mistari ya bidhaa BARCODES katika
hafla iliyofanyika, Dar es Salaam. Nembo hiyo imetengezwa na kampuni ya
GSI
Gadna akizungumza baada ya kupokea nembo hiyo ya biashara
Gadna
(wa pili kulia) akionesha moja ya albamu ya nyimbo za bendi ya machozi
ambayo ina nembo hiyo. Kulia ni Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa
Sekta Binafsi (TPSF), Godfey
Wafanyakazi wa kampuni ya GSI wakiwa katika picha ya pamoja na Gadna Habash
Gadna
akibadilishana mawazo na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Sekta
Binafsi (TPSF), Godfey Simbeye (katikati) pamoja na Mkurugenzi wa
Uanachama wa TPSF, Louis Accaro
Reviewed by
crispaseve
on
2:39 AM
Rating:
5
No comments:
Post a Comment