MKUU WA MAJESHI AONGOZA KUWAAGA MAOFISA MAJENERALI 16 WA JWTZ WALIOSTAAFU.
Mnadhimu
Mkuu mstaafu wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), Luteni Jenerali
Samuel Ndomba (kwenye gari kushoto) na Mkuu wa Vikosi vya Kulinda Amani
Umoja wa Mataifa, Luteni Jenerali mstaafu, Paul Ignas Meela wakitoa
heshima katika hafla ya kuagwa iliyofanyika Viwanja vya Twalipo Mgulani
Dar es Salaam leo mchana. Maofisa Majenerali 16 waliostaafu Utumishi
Jeshini waliagwa.
Brigedia
Jenerali mstaafu, Msangi (kulia mbele), akikagua gwaride maalumu
waliloandaliwa maofisa hao wastafu wakati wakiagwa rasmi baada ya
kumaliza utumishi wao jeshini.
Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), mstaafu Meja Jenerali, Raphael Muhuga, akikagua gwaride hilo.
Wanafamilia wa wastaafu hao wakiwa kwenye hafla hiyo ya kuagwa jamaa zao.
Ukaguaji gwaride rasmi ukiendelea.
Maofisa hao wastaafu wakiwa jukwaa kuu.
Hapa maofisa hao wakiwa wamesimama wakati gwaride likipita jukwaa kuu na kutoa heshima.
No comments:
Post a Comment