Kiongozi
wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, Akifurahia mara baada ya kutua
Bukoba na tayari kuwahutubia wakazi wa mji wa Bukoba leo wakati wa
mkutano wa hadhara kwenye Uwanja wa Mashujaa/Uhuru Platform Bukoba leo
Jumatatu tarehe 15 june, 2015. Kiongozi huyu ambaye amefuatana na
viongozi wenzake wa juu wa chama hicho, yuko kwenye ziara ya kukitangaza
chama na sera mpya ya azimio la arusha lenye usasa.
Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe akiongea na wakazi wa Mji wa Bukoba leo Jioni jumatatu ya juni 15, 2015.
Mwenyekiti
wa Chama cha ACT Wazalendo, Anna Mghira, akiwahutubia wakazi wa mji wa
Bukoba leo wakati wa mkutano wa hadhara kwenye Uwanja wa Uhuru Platform
leo Jumatatu juni 15, 2015.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
ZITTO KABWE AWAHUTUBIA WAKAZI WA MKOA WA KAGERA KWA MARA YA KWANZA LEO
Reviewed by
crispaseve
on
4:00 AM
Rating:
5
No comments:
Post a Comment