Header Ads

WAWEKEZAJI WAJADILI KUWEKEZA KWENYE VIWANDA.

 Balozi wa India Debnath Show akibadilishana mawazo na Mwenyekiti wa makampuni ya GEM, Rangaswame Veeramani  katika mkutano wa wafanyakazi wa India wanaowekeza Tanzania, mkutano uliofanyika katika Hoteli ya Protea jijini Dar es Salaam leo.
 Mkurugenzi  wa utawala wa TCCIA Francis Lukwaro akizungungumza na baadhi ya waandishi wa habari kuhusiana na thamani ya shilingi ya Tanzania inavyoshuka na kusababisha wawekezaji kuja kuwekeza hapa nchini leo katika mkutano uliofanyika katika hoteli ya Protea jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Msaidizi wa Taasisi ya sekta binafsi hapa nchini Loics Accaro akizungumza na wandishi wa habari mara baada ya kumalizika mkutano wa wawekezaji wa  China katika mkutano uliofanyika katika hoteli ya Protea jijini Dar es Salaam.
  Baadhi ya washiriki wa mkutano wa wawekezaji uliofanyika katika hoteli ya Protea jijini Dar es Salaam..(PICHA NA EMMENUEL MASSAKA.)

No comments:

Powered by Blogger.