UJUMBE WA MAOFISA WA UMOJA WA BENKI ZA AKIBA DUNIANI KANDA YA AFRIKA WATEMBELEA ZANZIBAR
Meneja
wa Tawi la Benki ya Posta Zanzibar Ndg Justin S.Nandonde akisalimiana
na kumkaribisha wageni wake walipotembelea Tawi hilo Zanzibar kujionea
utendaji wa Benki ya Posta Tawi la Zanzibar wakiwa katika ziara yao
Zenj.
MKURUGENZI Mtendaji
wa Benki ya Posta Tanzania Ndg. Sabasaba Moshingi, akitowa maelezo
ya Ujumbe wa Maofisa wa Benki wa Umija wa Mabenki Duniani Kanda ya
Afrika, walipotembelea Benki ya Posta tawi la Zanzibar.
Wajumbe
wa Mkutano wa Wanachama wa Umoja wa Mabenki Duniani na Kanda ya Afrika
wakimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Posta Tanzania wakati
walipofika Tawi la Benki ya Posta Zanzibar,
MKURUGENZI Mtendaji
wa Benki ya Posta Tanzania Ndg. Sabasaba Moshingi, akitowa maelezo
ya Ujumbe wa Maofisa wa Benki wa Umija wa Mabenki Duniani Kanda ya
Afrika, walipotembelea Benki ya Posta tawi la Zanzibar.
No comments:
Post a Comment