Rais Kikwete afariji waliopatwa na maafa ya Mvua ya Mawe,Kahama leo
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na kuwafariji waathirika wa Mvua ya Mawe,iliyonyesha hivi karibuni katika Kijiji cha Mwakata,Wilayani Kahama Mkoa wa
Shinyanga,leo Machi 12,2015.
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na kuwafariji waathirika wa Mvua ya
Mawe,iliyonyesha hivi karibuni katika Kijiji cha Mwakata,Wilayani Kahama
Mkoa wa Shinyanga,leo Machi 12,2015.
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na kuwafariji waathirika wa Mvua ya
Mawe,iliyonyesha hivi karibuni katika Kijiji cha Mwakata,Wilayani Kahama
Mkoa wa Shinyanga,leo Machi 12,2015.
Maelfu ya Wakazi wa Kahama wakimsikiliza Rais Jakaya Mrisho Kikwete
wakati alipokuwa akiwahutubia mara baada ya kutembelea na kujionea
athari ya Mvua ya Mawe kwa wananchi wa Kijiji cha Mwakata,Wilayani
Kahama Mkoa wa Shinyanga,leo Machi 12,2015.
No comments:
Post a Comment