Header Ads

BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU HESLB YALIA NA MAREJESHO

 
Mkurugenzi Msaidizi wa Habari, Elimu na Mawasiliano wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu,Cosmas Mwaisobwa(katikati) akifafanua jambo kwa waandishi wa habari Dar es Salaam leo juu ya hali ya urejeshaji mikopo ya wanafunzi. Kushoto ni Mkurugenzi Urejeshaji wa Mikopo wa HESLB, Juma Chagonja
 Mkurugenzi Msaidizi wa Habari, Elimu na Mawasiliano wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu
Cosmas Mwaisobwa(katikati) akifafanua jambo kwa waandishi wa habari Dar es Salaam leo juu ya hali ya urejeshaji mikopo ya wanafunzi. Kushoto ni Mkurugenzi Urejeshaji wa Mikopo wa HESLB, Juma Chagonja na Afisa habari, mwandamizi, Elimu na Mawasiliano, Veneranda Malima. 
Mkurugenzi Msaidizi wa Habari, Elimu na Mawasiliano wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu, Cosmas Mwaisobwa(katikati) akifafanua jambo kwa waandishi wa habari Dar es Salaam leo juu ya hali ya urejeshaji mikopo ya wanafunzi. Kushoto ni Mkurugenzi Urejeshaji wa Mikopo wa HESLB, Juma Chagonja na Afisa habari, mwandamizi, Elimu na Mawasiliano, Veneranda Malima.
---
IMANI potofu kuwa mikopo itolewayo na Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB),  ni ruzuku na hawapaswi kuirejesha ni moja ya changamoto ambazo bodi hiyo inakabiliana nazo katika ukusanyaji wa madeni kutoka kwa wanufaika.

No comments:

Powered by Blogger.