ICF na TIC Kuongeza Uwekezaji Nchini

Rais
mtaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (awamu ya tatu) na Mwenyekiti
Mwenza wa ICF,Mh. Benjamin Mkapa akikaribishwa na Waziri wa nchi Ofisi
ya Waziri Mkuu - Uwekezaji na Uwezeshaji,Mh. Ing. Christopher Chiza
wakati alipowasili kwenye Ofisi za Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC) leo
Machi 23.

Rais
mtaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (awamu ya tatu) na Mwenyekiti
Mwenza wa ICF,Mh. Benjamin Mkapa akisalimiana na Mwenyekiti wa Bodi ya
Wakurugenzi ya Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC),Prof. Lucian Msambichaka
wakati alipowasili kwenye Ofisi za Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC) leo
Machi 23.Kushoto ni Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu - Uwekezaji na
Uwezeshaji,Mh. Ing. Christopher Chiza.

Rais
mtaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (awamu ya tatu) na Mwenyekiti
Mwenza wa ICF,Mh. Benjamin Mkapa akiwasalimia baadhi ya Wafanyakazi wa
Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC) waliojitokeza kumpokea wakati
alipowasili.

Rais
mtaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (awamu ya tatu) na Mwenyekiti
Mwenza wa ICF,Mh. Benjamin Mkapa (wa pili kushoto) akizungumza jambo na
Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu - Uwekezaji na Uwezeshaji,Mh. Ing.
Christopher Chiza pamoja na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Kituo
cha Uwekezaji nchini (TIC),Prof. Lucian Msambichaka.Kulia ni Mkurugenzi
Mkuu wa Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC),Juliet Kairuki.

Rais
mtaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (awamu ya tatu) na Mwenyekiti
Mwenza wa ICF,Mh. Benjamin Mkapa (wa pili kulia) akizungumza na Uongozi
wa Juu wa Taasisi inayoshughulikia
mazingira ya Uwekezaji Barani Afrika (ICF-Africa) pamoja na Kituo
cha Uwekezaji nchini (TIC) kabla ya kuanza kwa hafla ya utiaji saini wa
makubaliano ya kusaidia kuvutia na kuongeza uwekezaji wa ndani na nje
ya nchini baina ya taasisi hizo mbili,uliofanyika leo Machi 23,2015
kwenye ofisi ya TIC jijini Dar es salaam.
No comments:
Post a Comment