Header Ads

Soma Taarifa Ya Chama cha Alliance for Change and Transparency (ACT Tanzania) Kuhusu Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali katika taarifa yake ya mwaka 2012/2013



1. Chama cha Alliance for Change and Transparency (ACT Tanzania) kimesononeshwa sana na hoja za ukaguzi zilizoibuliwa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali katika taarifa yake ya mwaka 2012/2013. Taarifa ya CAG inaonyesha kuwa fedha za umma katika mwaka wa fedha uliotajwa zilitumiwa vibaya na watu waliokabidhiwa mamlaka ya kuzitunza na kuzitumia kwa ajili ya wananchi. 

No comments:

Powered by Blogger.