JUST IN : OBITUARY: JULIUS NYAISANGA HAS PASSED AWAY TODAY MORNING.
 Taarifa
 zilizotufikia katika dawati letu la habari la BAMIZA BLOG kutoka kwenye
 vyanzo mbalimbali vya Habari Mjini Morogoro zinatutaarifu kuwa 
 aliyekuwa Mtangazaji mahiri na nguli katika tasnia ya habari na 
utangazaji Julius Nyaisanga, aliyekuwa mfanyakazi wa Abood Media mjini 
Morogoro amefariki dunia leo majira ya saa moja asubuhi.
Taarifa
 zilizotufikia katika dawati letu la habari la BAMIZA BLOG kutoka kwenye
 vyanzo mbalimbali vya Habari Mjini Morogoro zinatutaarifu kuwa 
 aliyekuwa Mtangazaji mahiri na nguli katika tasnia ya habari na 
utangazaji Julius Nyaisanga, aliyekuwa mfanyakazi wa Abood Media mjini 
Morogoro amefariki dunia leo majira ya saa moja asubuhi.
Marehemu Nyaisanga alikuwa akisumbuliwa na Shinikizo la damu na sukari .
Wakati
 wa uhai wake Marehemu Nyaisanga aliwahi kufanya kazi katika kampuni ya 
IPP media ambapop aliwahi kuwa mkurugenzi wa Radio One pamoja na radio 
Tanzania wakati huo ikiitwa RTD
Marehemu ameacha mjane na watoto watatu
Mungu ailaze roho ya Marehemu Mahala pema Peponi Amin

 
 
 
 
 
 
No comments:
Post a Comment