TAKWIMU ZA KUPEANA TALAKA KATI YA WANAUME NAWANAWAKE KI UMRI

USHAURI WA BURE!!
Angalia takwimu hapo chini, karibu asilimi
40 ya wanaume waliooa kati ya miaka 20-24 wameacha familia zao kwa
sababu ya umri. Kijana unatakiwa ukomae kwanza na pia upate muda wa
kujiimarisha kiuchumi uli uweze kuwajibika vizuri kwa familia yako.
Ikibidi kuoa chini ya miaka 25 ni sawa lakini chukua tahadhari. Ukitaka
kujua kwamba unastahili au unazo sifa za kuoa chini ya miaka 25, jiulize
masw...ali yafuatayo. 1. Je nikiudhiwa nakuwa mwehu
au natumia busara kukabiliana na maudhi hayo, 2. Je nimejiimarishaje ili
kuweza kulisha, kusomesha, matibabu na gharama kadha wakadha za
kifamilia, 3. Je Tabia zile za kisharobaro na zinazofanan na hayo
zimekoma au kupungua au bado zipo?. Mwisho, kama ni lazima kuoa katika
umri mdogo, basi muda wa uchumba au dating uwe mrefu ili kufahamiana ni
hisia na kitabia. mwaka mpaka miaka mitatu yafaa zaidi
credit:crispaseve blog
No comments:
Post a Comment